Friday 16 October 2015

FIFA: UEFA YAMUUNGA MKONO PLATINI



UEFA imesema inamuunga mkono Platini na inataka apewe nafasi ya kujitetea na kifungo chake cha siku 90 kimalizike aendelee na mambo mengine...Pamoja na kuungwa mkono sasa amejitokeza mtu mwingine ambae anataka kiti cha urais wa FIFA...Sheikh Salman bin Ibrahim Al Khalifa nae karibu atatangaza kuingia kwenye kinyan'ganyiro cha kutafuta rais mpya wa FIFA...Bofya hapa upate habari zaidi.

1 comment: