Sunday 4 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: SOUTH AFRICA WANANGUVU KULIKO SCOTLAND


Timu ya taifa ya Raga ya South Africa au kwa jina maarufu sana Springboks sasa wanaongoza Pool B baada ya kuwachapa Scotland kirahisi mabao 34-16...JP Pietersen na Bismarck du Plessis walikuwa hatari sana na Boks walishambulia Scotland kama Simba...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment