Saturday 17 October 2015

NBA: LAMAR ODOM AZINDUKA KUTOKA KWENYE COMA



Mchezaji maarufu wa basketball wa zamani Lamar Odom ametoka kwenye coma...Odom aliweza kumsalimia mke wake, Khloe Kardashian, ambae wanapitia zoezi la kuachana, kwa kumwambia 'Hi'...Odom alikutwa kazimia ndani ya danguro moja jijini Las Vegas Marekani na sasa anapambana apone lakini inasemekana organs zake nyingi hazifanyi kazi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment