Showing posts with label Khloe Kardashian. Show all posts
Showing posts with label Khloe Kardashian. Show all posts

Saturday, 17 October 2015

NBA: LAMAR ODOM AZINDUKA KUTOKA KWENYE COMA



Mchezaji maarufu wa basketball wa zamani Lamar Odom ametoka kwenye coma...Odom aliweza kumsalimia mke wake, Khloe Kardashian, ambae wanapitia zoezi la kuachana, kwa kumwambia 'Hi'...Odom alikutwa kazimia ndani ya danguro moja jijini Las Vegas Marekani na sasa anapambana apone lakini inasemekana organs zake nyingi hazifanyi kazi...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 14 October 2015

NBA: LAMAR ODOM AKUTWA AMEZIMIA NDANI YA DANGURO


Lamar Odom mchezaji wa zamani wa LA Lakers amekutwa amezimia akiwa ndani ya danguro jijini Las Vegas...Habari zinazotoka huko zinasema alikutwa kifudifudi na alipogeuzwa alitapika sana...Polisi waliitwa eneo la tukio na pia watu wa emergency medicine wakuwepo na walijaribu kumweka kwenye helicopter lakini hakuweza kuingia kutokana na urefu wake...Walimkimbiza na ambulance kumpeleka hospitali...



Lamar alikuwa ameoa kwenye familia maarufu sana ya Kardashians...Waliachana na mke wake Khloe muda si mrefu lakini mke huyo wa zamani yuko nae hospitalini na anamwombea apone...Max Sports tunamwombea Lamar apone haraka...Bofya hapa upate habari zaidi.