Friday 30 October 2015

WTA FINALS: SHARAPOVA AMCHAPA PENNETTA



Maria Sharapova amefanikiwa kumchapa Flavia Pennetta 7-5 6-1 na kuingia nusu fainali ya michuano hiyo ya WTA huko Singapore...Pennetta amesema huu ni msimu wake wa mwisho wa kucheza tennis...Serena Williams hakucheza kwenye fainali hizi kutokana na majeraha...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment