Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 30 October 2015
WTA FINALS: SHARAPOVA AMCHAPA PENNETTA
Maria Sharapova amefanikiwa kumchapa Flavia Pennetta 7-5 6-1 na kuingia nusu fainali ya michuano hiyo ya WTA huko Singapore...Pennetta amesema huu ni msimu wake wa mwisho wa kucheza tennis...Serena Williams hakucheza kwenye fainali hizi kutokana na majeraha...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment