Monday 5 October 2015

LIVERPOOL: BRENDAN RODGERS ATIULIWA


Kocha ambaye alijitahidi sana lakini baada ya kumuuza Suarez hakuweza kurudisha timu kwenye viwango vya juu ametimuliwa...Brendan Rodgers anategemewa kubadilishwa na Jurgen Klop aliyekuwa kocha wa Dortmund...Makocha wengine ambao walikuwa wanatolewa macho ni Carlo Ancelotti, Frank de Boer, Walter Materazzi na ejurgen Klinsman...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment