Saturday 31 October 2015

RUGBY WORLD CUP 2015: ALL BLACKS WAKO TAYARI KUWEKA HISTORIA


Leo ni leo bingwa wa Rugby duniani atajulikana kwenye fainali ya Rugby World Cup 2015 kati ya New Zealand na Australia ndani ya Twickenhan...New Zealand wanataka kuwa timu pekee ambayo itakuwa imeshinda kombe la dunia mara 2...


Itakuwa mara ya kwanza All Blacks na Australia wanakutana kwenye fainali na ukizingatia All Blacks wamepoteza mechi 3 tu kati ya 53 toka wanyanyue Webb Ellis Cup mwaka 2011 mechi ya fainali itakuwa kali sana...


Usikose fainali hii ambayo itaanza kurushwa live kuanzia 16:00 GMT...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment