Friday 30 October 2015

F1: BINGWA WA DUNIA MARA 3 LEWIS HAMILTON ANATAKA GP YA AFRIKA YA KUSINI IRUDISHWE



Lewis Hamilton ambae ni bingwa wa dunia wa mashindano ya F1 amesema angefurahia kama wangeirudisha GP ya Afrika Kusini...Afrika ya kusini imechezesha mashindano hayo mara 23 toka 1962 mpaka 1993...


Lewis Hamilton alikuwa mtu wa kwanza mwenye asili ya kiafrika kushinda F1 mwaka 2007 na sasa ameshinda ubingwa wa dunia mara 3 pamoja na kushinda mashindano 43 mbali mbali...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment