Tuesday 27 October 2015

CHAD: RIGOBERT SONG KOCHA MPYA


Chad wamechagua kocha mpya baada ya kumfukuza kocha kutokana na kushindwa kufuzu...Rigobert Song anakuwa kocha mpya wa Chad kutokana na uzoefu wake katika soka Afrika...Song amecheza Nations Cup mara 33 na ni rekodi pia ameshinda mara 2 kama captain mwaka 2000 na 2002...Amecheza World Cup mara 4 mwaka 1994 1998 2000 na 2010...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment