Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Evans Nyeme. Show all posts
Showing posts with label Evans Nyeme. Show all posts
Sunday, 19 June 2016
SIMBA SPORTS CLUB: USAJILI WA 4 WAZINDULIWA MSIMBAZI
Simba wamesajili mchezaj, Mohamed Ibrahim, kutoka Mtibwa Suga...Simba wanaimarisha kikosi na Ibrahim ni kifaa cha 4 kuingia Msimbazi...Rais wa Simba SC, Evans Aveva, amesema Ibrahim amesaini mkataba wa miaka 2...Simba walichukua wachezaji 2 kutoka Mwadui FC na 1 kutoka Mtibwa Sugar...Bado wanafukuzia mchezaji Shiza Kichuya kutoka Mtibwa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 16 October 2015
ROTARY MARATHON 2015: ZAIDI YA SHILING BILIONI 1 ZAPATIKANA
![]() |
| Mdau wa Max Sports wakili maarufu Anthony Mark akiwa amemaliza 21km |
Rotary Club 6 za Dar es Salaam wakishirikiana na wafadhili wengine wameweza kupata zaini ya Shilingi bilioni 1 ambazo zitaenda kusaidia kujenga sehemu ya matibabu hapa jijini Dar...Rotary Marathon ilifadhiliwa na Bank M pamoja na wadau wengine na mgeni rasmi alikuwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi...
![]() | |
| Mdau wa Max Sports mjasiriamali Evans Nyeme (Wa 3 kushoto) |
Wadau walioweza kuhuthuria walikuwa zaidi ya 13,000 wakiwemo wadau wa Max Sports, watoto, wakina mama, na wasiojiweza...Mzee Mwinyi amesema juhudi za Rotary za kusaidia jamii lazima zijulikane na pia yeye amehudhuria marathon toka 2009 na amesema marathon imesaidia kuimarisha maisha ya wakazi wengi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)


