Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Mwadui FC. Show all posts
Showing posts with label Mwadui FC. Show all posts
Tuesday, 22 June 2021
Wednesday, 24 January 2018
Tuesday, 19 September 2017
Monday, 18 September 2017
Sunday, 29 January 2017
VODACOM PEMIER LEAGUE: YOUNG AFRICANS (YANGA) KILELENI BAADA YA KUIZAMISHA MWADUI 2-0
Young Africans (Yanga) wamewapiku watani wao wa jadi Simba Sports Club baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC...
Sunday, 30 October 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: SIMBA SPORTS CLUB YAMRARUA MWADUI 0-3
Simba Sports Club wanazidi kusonga mbele baada ya kumrarua Mwadui ya Shynyanga 0-3...Simba wanaongoza ligi wakiwa na points 8 mbele ya watani wao wa jadi Young Africans (Yanga)...
Friday, 26 August 2016
VPL: KOCHA WA TOTO AFRICA AIPONGEZA TIMU KWA USHINDI
Kocha wa Toto Africa, Rogasian Kaijage, ameipongeza timu yake ya Toto Africa kwa ushindi dhidi ya Mwadui FC...Toto ilipata bao kipindi cha kwanza dakika ya 35 kupitia kwa Waziri Junior ndani ya CCM Kirumba Mwanza...Kocha amesema alifurahi Toto ilitengeneza nafasi nyingi ila ilikosa mabao mengi...Kocha wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelo alikubali matokeo na kusema wachezaji hawakuwa kwenye form kabisa.
Sunday, 19 June 2016
SIMBA SPORTS CLUB: USAJILI WA 4 WAZINDULIWA MSIMBAZI
Simba wamesajili mchezaj, Mohamed Ibrahim, kutoka Mtibwa Suga...Simba wanaimarisha kikosi na Ibrahim ni kifaa cha 4 kuingia Msimbazi...Rais wa Simba SC, Evans Aveva, amesema Ibrahim amesaini mkataba wa miaka 2...Simba walichukua wachezaji 2 kutoka Mwadui FC na 1 kutoka Mtibwa Sugar...Bado wanafukuzia mchezaji Shiza Kichuya kutoka Mtibwa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)





