Showing posts with label Mwadui FC. Show all posts
Showing posts with label Mwadui FC. Show all posts

Wednesday, 24 January 2018

MWADUI FC: KOCHA MSAIDIZI MWADUI FC AFARIKI BAADA YA KUANGUKA BAFUNI


Mwadui FC imepata msiba mkubwa baada ya kocha msaidizi kufariki dunua baada ya kuanguka bafuni Mwadui Mkoani Shinyanga...

Sunday, 29 January 2017

VODACOM PEMIER LEAGUE: YOUNG AFRICANS (YANGA) KILELENI BAADA YA KUIZAMISHA MWADUI 2-0


Young Africans (Yanga) wamewapiku watani wao wa jadi Simba Sports Club baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC...

Sunday, 30 October 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE: SIMBA SPORTS CLUB YAMRARUA MWADUI 0-3


Simba Sports Club wanazidi kusonga mbele baada ya kumrarua Mwadui ya Shynyanga 0-3...Simba wanaongoza ligi wakiwa na points 8 mbele ya watani wao wa jadi Young Africans (Yanga)...

Friday, 26 August 2016

VPL: KOCHA WA TOTO AFRICA AIPONGEZA TIMU KWA USHINDI


Kocha wa Toto Africa, Rogasian Kaijage, ameipongeza timu yake ya Toto Africa kwa ushindi dhidi ya Mwadui FC...Toto ilipata bao kipindi cha kwanza dakika ya 35 kupitia kwa Waziri Junior ndani ya CCM Kirumba Mwanza...Kocha amesema alifurahi Toto ilitengeneza nafasi nyingi ila ilikosa mabao mengi...Kocha wa Mwadui FC Jamhuri Kihwelo alikubali matokeo na kusema wachezaji hawakuwa kwenye form kabisa.

Sunday, 19 June 2016

SIMBA SPORTS CLUB: USAJILI WA 4 WAZINDULIWA MSIMBAZI


Simba wamesajili mchezaj, Mohamed Ibrahim, kutoka Mtibwa Suga...Simba wanaimarisha kikosi na Ibrahim ni kifaa cha 4 kuingia Msimbazi...Rais wa Simba SC, Evans Aveva, amesema Ibrahim amesaini mkataba wa miaka 2...Simba walichukua wachezaji 2 kutoka Mwadui FC na 1 kutoka Mtibwa Sugar...Bado wanafukuzia mchezaji Shiza Kichuya kutoka Mtibwa...Bofya hapa upate habari zaidi.