Sunday 27 September 2015

RUGBY WORLD CUP: CAPTAIN WA SOUTH AFRICA NJE



Captain wa timu ya taifa ya Raga ya South Afrika, Jean De Villiers, hatoweza kucheza tena wenye World Cup kutokana na kuvunjika mfupa unaoshika meno...Captain huyo aliumia kwenye mechi yao dhidi ya Samoa ambayo walishinda 46-6...Ni pigo kubwa sana kwa Springbok lakini wamejipanga kuendelea na mapambano bila De Villiers...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment