Thursday 24 September 2015

CHELSEA: EVA ASEPA NA ANATAKA KUFUNGUA MASHTAKA



Dokta wa Chelsea, Eva Carneiro, ambae alishushwa cheo baada ya kuwakiwa na Jose Mourinho kwenye mechi dhidi ya Swansea ameamua kuachia ngazi...Pamoja na kuachia ngazi anafikiria kufungua mashtaka dhidi ya club yake kutokana na issue ya mkataba na kuvunjiwa heshima...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment