Friday 11 September 2015

MANCHESTER UNITED: DAVID DE GEA ASAINI MKATABA MPYA


David de Gea amewatoa hofu mashabiki wa Man U ambao walijua anahamia Spain...De Gea amesaini mkataba mpya na club hiyo kubwa ya Uingereza ambao utamweka hapo Old Trafford kwa miaka 4...



De Gea mwenye umri wa miaka 24 amechezea Man U mechi 175 toka atoke Atletico Madrid mwaka 2011 kwa dau la pounds milioni 18.9...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment