Thursday 17 September 2015

CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL YAANZA VIBAYA


Arsenal fc imeanza vibaya michuano mikubwa ya UEFA baada ya kufungwa 2-1 na Dinamo Zagreb...Mechi ilikuwa safi sana na Arsenal walikuwa juu kimpira lakini baada ya dakika 40 Olivier Giroud alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kufanya ndivyo sivyo mara ya 2...Katika mechi nyingine timu za Uingereza zilichapwa kasoro Chelsea ambao walishinda 4-0...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment