Monday 14 September 2015

US OPEN: DJOKOVIC BINGWA


Novak Djokovic amemfunga Roger Federer kwenye fainali ya US Open na kuchukua kombe mbele wa watu wengi waliokuwa wanatazama mechi...Djokovic ambae ni namba 1 duniani ameshindwa kupata Grand Slam lakini amejitahidi sana na kufungwa mara 1 tu msimu huu...Haikuwa rahisi kucheza na Federer ambae ni mchezaji wa kipekee mwenye ujuzi wa hali ya juu wa tennis...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment