Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 14 September 2015
US OPEN: DJOKOVIC BINGWA
Novak Djokovic amemfunga Roger Federer kwenye fainali ya US Open na kuchukua kombe mbele wa watu wengi waliokuwa wanatazama mechi...Djokovic ambae ni namba 1 duniani ameshindwa kupata Grand Slam lakini amejitahidi sana na kufungwa mara 1 tu msimu huu...Haikuwa rahisi kucheza na Federer ambae ni mchezaji wa kipekee mwenye ujuzi wa hali ya juu wa tennis...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment