Sunday 13 September 2015

BOXING: MAYWEATHER ASEMA SASA BASI BAADA YA KUFIKIA REKODI YA MARCIANO


Floyd Mayweather amesema atastaafu ndondi kwani hakuna kitu kingine cha kuonyesha umwamba wake...Mayweather alimchapa Andre Berto kwa kushinda score card zote na kufikia rekodi ya Rocky Marciano ya 49-0...



Bado Mayweather anaweza kuongeza pambano moja au mawili lakini kwa sasa amesema anataka atumie muda wake na familia...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment