Sunday 20 September 2015

EPL: MARTIAL APACHIKA ZAKE 2 KATIKA USHINDI DHIDI YA SOUTHAMPTON



Anthony Martial ameanza vizuri baada ya kupata bao 2 katika game dhidi ya Southampton muda mfupi uliopita...Manchester walianza ovyo mwanzoni na walishambuliwa sana na pia walikuwa wakwanza kuchapwa lakini dogo Martial alikuja kusawaazisha...Man U walishinda 3-2 na wamshukuru sana huyo dogo mwenye umri wa miaka 19 tu aliyenunuliwa kwa bei mbaya kutoka Ufaransa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment