Sunday 6 September 2015

AFCON 2015: TANZANIA YASHINDWA KUICHAPA NIGERIA


Taifa Stars imeshindwa kuifunga Super Eagles nyumbani na sasa in a mlima wa kupanda wakienda kwao....Stars walipata nafasi nyingi lakini walishindwa kuzitumia...Mzunguko was 2 Eagles watajizatiti sana...Stars walicheza vizuri sana tofauti na matarajio ya wengi...Half time mechi iligeuka kuwa kituko cha siasa baada ya mbunge was Bumbuli Mh. January Makamba kuwalipia watu ambao walikuwa nje ya uwanja waingie kucheki game...Ilivyotangazwa tu umati wa watu walizomea sana na kuonyesha ishara za Ukawa...Kitendo hicho kilishangaza benchi la Nigeria na wakibaki wantoa macho tu...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment