Sunday 20 September 2015

EPL: FUNGIA DIEGO COSTA MECHI 3 ASEMA ARSENE WENGER



Arsene Wenger kocha wa Arsenal amesema Diego Costa anatakiwa kufungiwa mechi 3 na FA baada ya kufanya uhuni uwanjani kwenye game ya Arsenal na Chelsea...Kutokana na kufanya uhuni huo refa Mike Dean alijifanya hakuona na badae akatoa kadi nyekundu kwa Gabriel wa Arsenal...Wenger amemlalamikia refa huyo kwa kuzembea kuchukua hatua dhidi ya Costa na amesema Dean ni dhaifu sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment