Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 25 September 2015
BUNDESLIGA: PIERRE-EMERICK AUBAMEYANG AWEKA REKODI MPYA
Forward wa Borrusia Dortmung, Pierre-Emerick Aubameyang, ameweka rekodi mpya kwenye ligi kubwa ya Ujerumani ya Bundesliga...Aubameyang amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao katika mechi zote 6 za mwanzo...
Kwa sasa ameshafunga mabao katika mechi 8 mfululizo ukichanganya na za mshimu uliopita...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment