Friday 25 September 2015

BUNDESLIGA: PIERRE-EMERICK AUBAMEYANG AWEKA REKODI MPYA



Forward wa Borrusia Dortmung, Pierre-Emerick Aubameyang, ameweka rekodi mpya kwenye ligi kubwa ya Ujerumani ya Bundesliga...Aubameyang amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao katika mechi zote 6 za mwanzo...


Kwa sasa ameshafunga mabao katika mechi 8 mfululizo ukichanganya na za mshimu uliopita...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment