Saturday 5 September 2015

AFCON 2015: STARS UWANJANI LEO NA EAGLES


Taifa Stars leo watachuana na Super Eagles ndani ya uwanja wa taifa....Kwa mara ya kwanza timu hizi zilikutana ilikuwa 1962 na wakatoka sare....Mara ya 2 ilikuwa mwaka 1980 na Eagles walituchapa 3-1...Timu hizi zimekutana mara 4 katika historia na leo ni mara ya 5....Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment