Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 22 September 2015
EPL: COSTA APATIKANA NA HATIA
FA wamemkuta Diego Costa na hatia ya kufanya fujo uwanjani...FA walitumia marefa watatu wazoefu na kuonyeshwa mkanda ambao unaonyesha Costa akimsukuma usoni Laurent na badae kumfanyia fujo Gabriel na baada ya hapo wote walisema Costa apewe red card kwa makosa yake...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment