Tuesday 22 September 2015

EPL: COSTA APATIKANA NA HATIA


FA wamemkuta Diego Costa na hatia ya kufanya fujo uwanjani...FA walitumia marefa watatu wazoefu na kuonyeshwa mkanda ambao unaonyesha Costa akimsukuma usoni Laurent na badae kumfanyia fujo Gabriel na baada ya hapo wote walisema Costa apewe red card kwa makosa yake...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment