Saturday 12 September 2015

US OPEN: SERENA NJE


Wadau wa tennis jana walishikwa na butwaa baada ya Serena Williams kufungwa na Roberta Vinci ambae hajawahi kushinda hata seti 1 katika mechi zake na Serena...Serena alitakiwa ashinde mara 2 ili apate Grand Slam na afikie rekodi ya Steffi Graf...Vinci alishinda 2-6 6-4 6-4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment