Sunday 6 September 2015

F1: LEWIS HAMILTON ACHUNGUZWA BAADA YA KUSHINDA ITALIAN GP


Lewis Hamilton ameshinda Italian Grand Prix lakini yuko katika uchunguzi wa presha ya matairi yake...Nafasi ya 2 alichukua Sebastian Vettel na ya 3 Filipe Massa...Lewis mwishoni aliambiwa akimbize sana na timu yake na hakuelewa kwanini na wakamwambia watamueleza kwanini badae...Kumbe tairi lake lilikuwa na upepo kidogo 0.3 psi chini ya sheria za mashindano...Timu ya Hamilton walikuwa wanataka akimbize ili wakipigwa faini awe ndani ya muda mzuri...Bofya hapa update habari zaidi.

No comments:

Post a Comment