Friday 25 September 2015

BASKETBALL: BBALL KITAA YAWAKARIBISHA MALAWI



Bball Kitaa wameandaa mechi 2 kali sana kwa kuwaalika wamalawi kuja kucheza na timu zetu za bongo...Team ya Malawi inaitwa Reject Basketball Club itachuana kesho na Mbezi Beach Club (Western Zone One) kwenye Bball Kitaa park karibu na Gymkhana Club na Jumapili watachuana na Jogoo...Coordinator wa Bball Kitaa, Lawrence Karabani, amesema watu wajitokeze kwa wingi kushuhudia mechi hizo kali kwani Reject ni kati ya timu kali sana huko Malawi...Bofya hapa upate hanari zaidi.

No comments:

Post a Comment