Bball Kitaa wameandaa mechi 2 kali sana kwa kuwaalika wamalawi kuja kucheza na timu zetu za bongo...Team ya Malawi inaitwa Reject Basketball Club itachuana kesho na Mbezi Beach Club (Western Zone One) kwenye Bball Kitaa park karibu na Gymkhana Club na Jumapili watachuana na Jogoo...Coordinator wa Bball Kitaa, Lawrence Karabani, amesema watu wajitokeze kwa wingi kushuhudia mechi hizo kali kwani Reject ni kati ya timu kali sana huko Malawi...Bofya hapa upate hanari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Western Zone One. Show all posts
Showing posts with label Western Zone One. Show all posts
Friday, 25 September 2015
BASKETBALL: BBALL KITAA YAWAKARIBISHA MALAWI
Bball Kitaa wameandaa mechi 2 kali sana kwa kuwaalika wamalawi kuja kucheza na timu zetu za bongo...Team ya Malawi inaitwa Reject Basketball Club itachuana kesho na Mbezi Beach Club (Western Zone One) kwenye Bball Kitaa park karibu na Gymkhana Club na Jumapili watachuana na Jogoo...Coordinator wa Bball Kitaa, Lawrence Karabani, amesema watu wajitokeze kwa wingi kushuhudia mechi hizo kali kwani Reject ni kati ya timu kali sana huko Malawi...Bofya hapa upate hanari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
