Monday 11 January 2016

MAPINDUZI CUP: URA NDANI YA FAINALI YANGA NJE



Yanga imetolewa nje michuano ya Mapinduzi na URA ya Uganda kwa matuta baada ya kutoka sare ya mabao 1-1...Mechi ilikuwa kali sana na ya viwango dhabit kabisa na wageni kutoka Uganda walishinda 4-3 kwenye matuta...URA watachea na Mtibwa Sugar kwenye fainali Jumatano tarehe 13 January ndani ya Uwanja wa  Amaan...Katika mechi nyingine watani wa jadi Simba SC wametupwa nje na Mtibwa Sugar kwa bao 1-0...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment