Sunday 24 January 2016

MANCHESTER UNITED: VICTOR VALDEZ AINGIA STANDARD LIEGE


Spanish international kipa Victor Valdez ameingia timu ya Ubelgiji ya Standard Liege kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu...Valdes alikuwa na matatizo na kocha wa Man U Van Gaal na kukaa benchi muda mrefu sana...Kisa eti Vaaldes aligoma kucheza mechi ya mazoezi ndio maana Van Gaal alimweka benchi lakini kuna mambo mengi yalichangia kocha huyo kuchukua hatua kali...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment