Showing posts with label Van Gaal. Show all posts
Showing posts with label Van Gaal. Show all posts

Friday, 8 December 2023

TEN HAG: I WAS WARNED NOT TO TAKE 'IMPOSSIBLE' MAN UNITED JOB


Erik ten Hag said he was warned not to become Manchester United manager before taking over at Old Trafford, with people telling him it was an "impossible" job.

The Dutchman joined United from Ajax in the summer of 2022, becoming the sixth manager -- following David Moyes, Louis van Gaal, Jose Mourinho, Ole Gunnar Solskjaer and Ralf Rangnick -- to attempt to emulate the success under Sir Alex Ferguson.

"Everyone was telling me, 'you can't succeed in that job,'" Ten Hag told the United We Stand fanzine, according to British media reports Thursday.

"They said it was impossible. Me? I wanted the challenge. I knew it wouldn't be easy, but it was such a great club with such a great fanbase."

Wednesday, 18 May 2016

MANCHESTER UNITED: VAN GAAL AZOMEWA NA MASHBIKI


Baada ya game ya mwisho ya Manchester United ambayo ilisogezwa mbele kutokana na sababu za kiusalama kocha wa Manchester united alijikuwa akizomewa wakti anashukuru mashabiki...Van Gaal aliongea na mashabiki wachache kwani wengi waliamua kusepa mapema kutokana na kutokubaliana na jinsi kocha anavyoendesha timu...


United waliwachapa Bournemouth 3-1 na kubakia nafasi ya 5 ambayo watakosa kucheza Champions League...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 7 March 2016

EPL: LOUIS VAN GAAL AMWAKIA MATA KWA RED CARD YA KIJINGA


Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amemwakia Mata na kusema kapata red card ya kijinga kabisa baada ya kufanya foul zote mbili ndani ya muda mfupi.

Saturday, 20 February 2016

MANCHESTER UNITED: VAN GAAL AKATA TAMAA KWA KUONA WACHEZAJI WAKUBWA WAMEMCHOKA WAKIMTAKA MOURINHO


Hali sio shwari ndani ya Old Trafford kutokana na jinsi kocha van Gaal anavyoendesha mambo...Kwa habari zinazotoka Uingereza zinasema kuwa wachezaji wakubwa wamanza kumsusia na amelijua hilo na sasa muda wowote anaweza kuondoka...Naibu Mwenyekiti wa Manchester United, Ed Woodward, bado hajaamua kumtimua van Gaal lakini inawezekana akaondoka kwakuwa wanaweza kumpoteza Jose Mourinho...Wakimpata Mourinho mapema wanaweza kumaliza nafasi nzuri na ikawasaidia katika mechi za Uefa...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 19 February 2016

EUROPA LEAGUE: MANCHESTER YACHEMSHA DHIDI YA FC MIDTJYLLAND


Manchester United wamechapwa 2-1 katika mechi yao ya "Uefa ndogo" dhidi ya FC Midtjylland...Manchester kwa ujumla hawakucheza vizuri na hiyo ni kutokana na kumpoteza Rooney na de Gea lakini bado wana matumaini katika Premiership wakijipanga vizuri...Kibarua cha van Gaal sasa kiko hatiani maana kutokana na hali hii ya majeruhi ni ngumu kufanya maajabu...Depay ndio aliyeanza kufunga bao kwenye dakika ya 37 lakini kipa aliyechukua nafasi ya de Gea alishindwa kuzuia bao la Pione Sisto dakika ya 44...Bao la ushindi lilitoka kwa Ebere Paul Onuachu kwenye dakika ya 77...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 13 February 2016

EPL: MANCHESTER UNITED YACHAPWA NA SUNDERLAND


Sunderland sasa imejipa matumaini ya kuchomoka chini na kumaliza ligi nafasi za kati baada ya kuichapa Manchester United 2-0...Wahbi Khazri attacking midfielder anayetoka Tunisia aliwaweka Sunderland mbele baada ya dakika 3 tu kuokana na free kick iliyowachanganya Man U...


Takriban dakika ya 39 Anthony Martial aliweza kupata bao lililompita Vita Manone...Corner ya Khazri ilimkuta Lamine Kone ambae alipiga kichwa kilichomgonga de Gea na kuzama ndani...Man U sasa naona ndoto za ubingwa zinaota mabawa na pia kumaliza nafasi ya 4 itakuwa shida...


Kocha van Gaal akae mkao wa kusepa maana mechi ya leo walikuwa kama hawataki kucheza vile...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 24 January 2016

MANCHESTER UNITED: VICTOR VALDEZ AINGIA STANDARD LIEGE


Spanish international kipa Victor Valdez ameingia timu ya Ubelgiji ya Standard Liege kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu...Valdes alikuwa na matatizo na kocha wa Man U Van Gaal na kukaa benchi muda mrefu sana...Kisa eti Vaaldes aligoma kucheza mechi ya mazoezi ndio maana Van Gaal alimweka benchi lakini kuna mambo mengi yalichangia kocha huyo kuchukua hatua kali...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 29 December 2015

EPl: VAN GAAL AGOMA KUACHIA NGAZI


Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema hakuna haja ya kuachia ngazi baada ya kutoka sare ya 0-0 na Chelsea jana...Manchester washindwa kushinda mechi 8 katika mashindano yote na wako points 5 nyuma ya timu ya nafasi ya 4...


Mashabiki waliomchoka van Gaal wanamtaka Jose Mourinho ambae alitimuliwa hivi karibuni...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 19 December 2015

PEP GUARDIOLA: RIO FERDINAND ANATAKA MANCHESTER KUMCHUKUA PEP HARAKA



Kocha bora duniani ataondoka Bayern Munich mwisho wa msimu na beki wa zamani wa Manchester United, Rio Gavin Ferdinand, ameseka inabidi Man U wamnyakue Pep Guardiola fasta kabla hajanyakuliwa na timu nyingine...Sasa presha iko juu ya Van Gaal kwani mashabiki bado hawajaisoma style yake na pia Manchester hawajashinda mechi kama 5 kwahiyo kazi anayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 4 November 2015

CHAMPIONS LEAGUE: VAN GAAL AZOMEWA


Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal, alizomewa jana baada tu ya kumtoa Martial na kumuingiza Felaini...Mashabiki hawakubaliani na jinsi van Gaal anavyoendesha timu kwani sasa wanapata shida ya kupata mabao na pia maamuzi ya kuwabadilisha nafasi wachezaji mara kwa mara...Van Gaal amesema amesikia akizomewa lakini na mambo yatakuwa safi baada ya ushindi...Bofya hapa upate habari zaidi.