Tuesday 29 December 2015

EPl: VAN GAAL AGOMA KUACHIA NGAZI


Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema hakuna haja ya kuachia ngazi baada ya kutoka sare ya 0-0 na Chelsea jana...Manchester washindwa kushinda mechi 8 katika mashindano yote na wako points 5 nyuma ya timu ya nafasi ya 4...


Mashabiki waliomchoka van Gaal wanamtaka Jose Mourinho ambae alitimuliwa hivi karibuni...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment