Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 29 December 2015
EPl: VAN GAAL AGOMA KUACHIA NGAZI
Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema hakuna haja ya kuachia ngazi baada ya kutoka sare ya 0-0 na Chelsea jana...Manchester washindwa kushinda mechi 8 katika mashindano yote na wako points 5 nyuma ya timu ya nafasi ya 4...
Mashabiki waliomchoka van Gaal wanamtaka Jose Mourinho ambae alitimuliwa hivi karibuni...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment