Monday 21 December 2015

FRANK LAMPARD: LAMPARD AFUNGA NDOA NA MCHUCHU WAKE WA MUDA MREFU

Bwana harusi
Frank Lampard, star wa Chelsea wa zamani na sasa anachezea New York City FC, ameamua kuacha ukapela na kumweka ndani mchumba wake wa long time Christine Beakley...
 
Redknap na Mrs walikuwepo...

Harusi hiyo ilihudhuriwa na watu maarufu wakiwemo wachezaji wa Arsenal na Chelsea...
 
Branislav na Mrs pia walishuhudia...

Harusi hiyo iliyofana ilifanyika Knightsbridge katikati ya jiji la London...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment