Thursday 3 December 2015

LEAGUE CUP: LIVERPOOL YAIRARUA SOUTHAMPTON 6-1



Liverpool yandelea kufanya vizuri chini ya kocha mpya Jugen Klopp na jana usiku walikuwa moto baada ya kuirarua Southampton 6-1 katika robo fainali ya League Cup...Daniel Sturridge alicheza jana na kujipatia mabao mawli na Mbelgiji mwenye asilia ya Kenya, Divok Okoth Origi, alipata mpira wa kupeleka nyumbani kupitia hat-trick yake...Sasa Liverpool watakutana na Stoke kwenye nusu fainali ya League Cup...


Nusu fainali itakuwa pia kati ya Everton na Manchester City...Mzunguko wa kwanza utaanza wiki ya January 4 na mzunguko wa 2 utaanza wiki ya January 25...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment