Showing posts with label Divok. Show all posts
Showing posts with label Divok. Show all posts

Friday, 22 April 2016

LIVERPOOL: JURGEN KLOPP ASEMA MGUU WA ORIGI HAUJAVUNJIKA


Habari njema kutoka the Kop kupitia kocha wa Liverpool Jurgen Klopp ni kwamba Divock Origi mguu wake haukuvika...Origi alifanyiwa foul mbaya sana na Funes Mori katika mechi ya Merseyside derby Jumatano usiku...


Klopp amesema Origi atakuwa nje kwa zaidi ya miezi 2 kwahiyo atakosa hata mashindano ya Ulaya...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 21 April 2016

EPL: LIVERPOOL YATUPIA 4 KWENYE MECHI YA MERSEYSIDE DERBY


Liverpool FC wamefanikiwa kuwachapa wenzao Everton mechi ambayo ni derby mabao 4-0...Liverpool wanapata ushindi wa 3 mfululizo...Divock Origi ndiye aliyeanza kufungulia mabao akifuatiwa na Mamadou Sakho dakika chache badae...Kipindi cha 2 Sturridge alitupia bao na Coutinho alimalizia kwenye dakika 71...Everton walipunguzwa na kuwa 10 wakati Funes Moris alipotelewa kwa kusimama kwenye ankle ya Origi...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 3 December 2015

LEAGUE CUP: LIVERPOOL YAIRARUA SOUTHAMPTON 6-1



Liverpool yandelea kufanya vizuri chini ya kocha mpya Jugen Klopp na jana usiku walikuwa moto baada ya kuirarua Southampton 6-1 katika robo fainali ya League Cup...Daniel Sturridge alicheza jana na kujipatia mabao mawli na Mbelgiji mwenye asilia ya Kenya, Divok Okoth Origi, alipata mpira wa kupeleka nyumbani kupitia hat-trick yake...Sasa Liverpool watakutana na Stoke kwenye nusu fainali ya League Cup...


Nusu fainali itakuwa pia kati ya Everton na Manchester City...Mzunguko wa kwanza utaanza wiki ya January 4 na mzunguko wa 2 utaanza wiki ya January 25...Bofya hapa upate habari zaidi.