Thursday 21 April 2016

EPL: LIVERPOOL YATUPIA 4 KWENYE MECHI YA MERSEYSIDE DERBY


Liverpool FC wamefanikiwa kuwachapa wenzao Everton mechi ambayo ni derby mabao 4-0...Liverpool wanapata ushindi wa 3 mfululizo...Divock Origi ndiye aliyeanza kufungulia mabao akifuatiwa na Mamadou Sakho dakika chache badae...Kipindi cha 2 Sturridge alitupia bao na Coutinho alimalizia kwenye dakika 71...Everton walipunguzwa na kuwa 10 wakati Funes Moris alipotelewa kwa kusimama kwenye ankle ya Origi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment