Sunday 10 April 2016

EPL: ANDY CARROLL AWASHIKA SHATI ARSENAL


Ndoto za Arsenal zimefifia leo baada ya kushikwa shati na hat-trick ya Andy Carroll wa West Ham United...Game ilikuwa balaa kwani iliisha 3-3 ulimi nje...Carroll alitandika mabao 3 ndani ya dakika 10 na bao la 2 lilikuwa hatari...



Matokeo ya leo hayasaidii timu zote mbili wakati game zimebaki chache...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment