Saturday 30 April 2016

LA LAKERS: LUKE WALTON KOCHA MPYA LAKERS


Luke Walton na uongozi wa Lakers wameafikiana mkataba wa miaka kadhaa Walton awe kocha wa Lakers...Walton amemaliza mkataba wake na Golden State Warriors ambapo alikuwa kocha msaidizi na sasa kapata nafasi kwenye timu maarufu sana ya basketball nchini Marekani..Mwaka 2008 Walton alichezea timu hiyo ya Lakers...Walton atakuwa kocha wa 26 kuifundisha Lakers...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment