Friday 15 April 2016

CHINESE GRAND PRIX: ALONSO ARUHUSIWA KUSHIRIKI CHINESE GP


Fernando Alonso amekubaliwa kushiriki Chinese GP na madaktari wake baada ya ajali mbaya sana iliyomtokea katika mashindano yaliyopita...Katika ajali hiyo alikuwa akikimbiza gari yake spidi 180 mph na kugonga ukingo na gari kuzunguka hewani mana kadhaa kabla ya kutua chini...


Pamoja na kukubaliwa ameambiwa akisikia chochote mwilini asimamishe gari mara moja...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment