Friday 29 April 2016

MLB: MKALI WA BASEBALL WA TIMU YA MARLINS, DEE GORDON, AFUNGIWA MECHI 80


Dee Gordon ambae ni baseman wa timu ya Miami Marlins na pia ni bingwa wa batting amefungiwa mechi 80 kutokana na kupatikana na madawa ya kuongeza nguvu mwilini...Major League Baseball wamesema amesimamishwa kutokana na sheria za mchezo huo wa baseball na hatolipwa...Gordon amekuwa  All-Star mara 2 na anaongoza kwa batting...Commissioner of Baseball amesema Gordon amekutwa na "exogenous Testosterone na Clostebal"...Habari ilitoka baada ya Marlins kuwachapa Dodgers na kushinda series 5-3...Bofya hapa upate habari zaidi  

No comments:

Post a Comment