Tuesday 5 April 2016

REAL MADRID: BAADA YA KUWACHAPA MAHASIMU WAO REAL SASA WAKO TAYARI KUIKABILI WOLFSBURG


Real wamesafiri kwenda kucheza na Wolfsburg baada ya ushindi wao dhidi ya Barcelona...Madrid wameonekana wakiwa na furaha tele na uhakika wa ushindi walivyo kuwa wanasafiri kwenda kucheza mechi ya Champions League huko Germany...


Walitumia shuttle kwenda Madrid-Barajas Airport na hapo wakaingia kwenye ndege binafi na kwenda Germany...


Wachezaji wote walipiga suti hatari kabisa mithili ya zile za Azam walivyo enda bondeni...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment