Thursday 14 April 2016

NBA: STEPHEN CURRY AVUNJA REKODI YAKE MWENYEWE NA KUFIKIA 3 POINTS 400 MSIMU HUU


Stephen Curry anaendelea kuacha midomo ya mashabiki waazi huku akiendelea kuvunja rekodi mbali mbali...Curry amekuwa mtu wa kwanza kabisa toka ligi ianzishwe kufikia 3 points 400 kwa msimu mmoja na pia amefanikiwa kupata 3-points 10 katika game moja akivunja rekodi yake ya awali na pia wakati team yake ya Golden State Warriors wakivunja rekodi ya ushindi wa mechi 73 katima msimu mmoja...Golden State walifikia hiyo rekodi katika ushindi wao dhidi ya Memphis Grizzlies wa points 125-104...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment