Thursday 28 April 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE 2016: KOCHA WA MBEYA CITY ATANGAZA KIKOSI KABLA YA MECHI DHIDI YAMTIBWA


Kocha mkuu wa Mbeya City Kinnah Phiri anayetokea Malawi ametangaza kikosi ambacho kitaenda kuikabili Mtibwa Sugar huko Morogoro...Mpira utapigwa ndani ya Manungu Stadium Jumamosi...Phiri amesema hana hofu na nafasi ambayo wako sasa lakini anauhakika wa kupata points kwenye mechi zilizobakia...Bofya hapa upate habari squad ya Mbeya City.

No comments:

Post a Comment