Friday 1 April 2016

AZAM SPORTS FEDERATION CUP: YANGA NA AZAM WASONGA MBELE


Azam wamesogea mbele kwenye kombe la ASFC baada ya kuwachapa Mbeya Prisons 3-0 ndani ya viwanja vya Chamazi...Yanga nao wameshinda mechi yao thidi ya Ndanda F.C. 2-1 ndani ya Uwanja wa Taifa...Stand United ya nao wameingia nne bora baada ya kuwazamisha Geita 3-0...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment