Wednesday 6 April 2016

ATHLETICS: KENYA KARIBU WANAFUNGIWA KWA MAKOSA YANAYOHUSU UTUMIAJI WA DAWA ZA KUIONGEZA NGUVU


Kenya bado hawajipanga vyema kutatua masharti yaliyowekwa na taasisi cha kudhibiti na kuzuia madawa ya kulevya...Walipewa muda kutatua masharti na muda huo karibu unaisha kwa hiyo wanaweza kukosa Rio 2016...Kenya walihusishwa na matumizi hayo kwenye ripoti ambayo ilisema Urusi na Kenya wanatumia sana dawa na pia inahusishwa na rushwa...World Anti-Doping Agency wanakaa kikao kujadili suala la Kenya Jumanne ijayo na wanaweza wakatangaza Kenya haijafuata masharti ya Wada...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment