Sunday 3 April 2016

EL CLASICO: REAL MADRID WAWASIMAMISHA BARCA


Cristiano Ronaldo jana aliweza kupachika bao lake la 42 la msimu huu na kuwasimamisha Barca ambao wameshinda mechi 39 bila kufungwa....Mwanzo mechi ilikuwa kali na ya umakini kwa pande zote mbili na mnamo dakik aya 56 Gerald Pique akipiga kichwa cha chini na kuiweka Barca mbele...



Karim Benzema nae akapiga bao hatari sana la mkasi na kusawazisha...Bale alikataliwa bao na Sergio Ramos alitolewa baada ya kufanya ndivyo sivyo mara 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment