Wednesday 27 April 2016

CHAMPIONS LEAGUE 2016: JOE HART AMEHAKIKISHA MAN CITY HAWAFUNGWI UNGWE YA KWANZA


Joe Hart amepangua mipira mawili mwishoni wakati Real Madrid wanashambulia sana mwishoni...Umakini wa Hart umeisaidia Manchester City kwenda ungwe ya 2 bila kifungwa...Real Madrid hawakuwa wenyewe nadhani pia ni kutokana na Cristiano Ronaldo kuwa nje kutokana na kuumia paja...Aguero sasa ameenda dakika 432 bila kupiga shuti linaloelekea kwenye goli na Kevin De Bruyne apipiga 62.3% ya pasi zake na ni kiwango cha chini kabisa kwa mchezaji anayecheza nafasi yake.... Hii ni dalili Manchester City wameanza kuchoka au wanapoteza mwelekeo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment