Monday 25 April 2016

BOXING: ANTHONY JOSHUA KUTETEA MKADA WAKE JUNE 25 NDANI YA O2 ARENA


Bingwa wa dunia katika uzito wa Heavyweight kupitia IBF, Anthony Jochua, atatetea mkanda wake dhidi ya mmarekani Dominic Breazeale....Dominic hajawahi kutwangwa toka awe pro boxer na kati ya ushindi wa ndondi 17 ametoa knockout 15...


Breazeale mrefu kwa inch 1 ni namba 13 duniani katika list ya wakali wa IBF chini ya Derek Chisora na David Haye...Bofya hapa upate habair zaidi.

No comments:

Post a Comment