Thursday 28 April 2016

TAIFA STARS: STARS YAPATA MECHI MUHIMU YA KIRAFIKI


Taifa Stars imepata mechi muhimu sana katika calender ya mpira mwaka huu...Mechi hiyo ya kirafiki itafanyika Nyayo Stadium dhidi ya Harambe Stars tarehe 29 May...Baada ya mechi za premiership wachezaji wataingia kambini chini ya usimamizi wa kocha Charles Boniface Mkwasa...Mechi hiyo ya kirafiki pia ni njia ya kujifua wakijiweka tayari kwa mechi za kimataifa za kuwania kombe la AFCON 2017...Stars watakuwa wanasubiri kuwakabili Egypt na Nigeria ili waweze kusonga mbele...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment