Friday 15 April 2016

LEICESTER CITY: DAU LA N'GOLO KANTE £20 MILIONI NA PSG WANAONGOZA MBIO ZA KUMYAKUA DOGO


N'golo Kante mwenye umri wa miaka 25 anasakwa sana PSG pamoja na timu zingine kubwa...Kwenye mkataba wake kuna kipengele kinachosema kama unamtaka Kante weka £20 milioni mezani...Dogo huyu amejitahidi sana na ameonekena kifaa ndani ya Leicester City ambao karibu wananyakua ubingwa premiership...Kante aliingia Leicester City kwa dau la chini kidogo ya £6 milioni akitokea Caen...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment