Saturday 16 April 2016

EPL: ASTON VILLA YASHUKA DARAJA



Aston Villa yashuka daraja rasmi...Aston Villa wanakumbukia historia yao ya mwaka 1982 walivyo kuwa mabingwa wa Ulaya lakini kwa huzuni kubwa wanashuka daraja bila kupenda...Villa walishindwa kujipanga msimu huu katika moja ya ligi ngumu duniani...Leo baada ya kuchapwa na Manchester United 1-0 imekuwa timu ya kwanza kushuka daraja...Newcastle nao hatinani kushuka ingawa leo wamepata mabao muhimu sana....Nyota wa mchezo wa leo ni dogo Marcus Rushford...Rushford ni mdogo kwa umri na umbo lakini hujituma kama veteran...Rushford leo kufunga bao lake la 4 toka aanzishwe na Van Goal mechi chache zilizopita....



Rooney amerejea leo lakini alikuwa mzito nadhani umri umesogea kwani anataka kujituma lakini mwili unakataa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment